Thursday 24 May 2018

CCM YAITISHA MKUTANO WA KAMATI KUU NA NEC JIJINI DAR ES SALAAM.


Chama cha Mapinduzi-CCM kimetangaza kufanya vikao vyake vya uongozi vya kitaifa ikiwemo cha Kamati Kuu-CC  na Halmashauri Kuu ya Taifa-NEC kuanzia Mei 28 hadi 29, 2018 jijini Dar es Salaam.

Taarifa hiyo imetolewa mapema leo Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM ambayo iko chini.

No comments: